Sasa mkuu mimi unanifikiliaje kwenye haka katangazo kako, nina jiwe pia nalima hoho huku matombo morogoro sina kazi huko serikalini. Naomba unifikilie mkuuHabarini!
Mimi najitokeza kwenu Leo hii kwa mara yangu ya Kwanza kumtafuta mchumba ambae
1.Ana hofu na MUNGU, Mimi ninampenda yesu.
2.MKRISTO km sio mkristo usinipm please ,me ni muaglicana sichagui dhehebu
3. Awe na elimu iliyonizidi, Mimi nina diploma kwa sasa
4.awe mwajiriwa sekta binafsi au serikalini
5.awe mwenye kujituma,mtafutaji mwenye kuijali familia na mwenye kutambua majukumu yake km baba ni nn, Mimi pia ni mtafutaji yaani mbali na elimu yangu lkn najishughulisha na ujasiliamari.
6.Umri awe na miaka 29-34 me nina miaka 26
Nia yangu ni ya dhati, midhaha siipendi please
MUNGU AWABARIKI SANA.
.maelezo mengine mengi nafikili tutaelekezana
Pole mkuu, tuko wengiDah nishakosa mke tayar
Duuh kumbe kuna watu wako serious ee?Nichek 0755384659
duh!! hebu tuwasiliane hapa tunaweza kutengeneza kitu tafadhali..0755543803Habarini!
Mimi najitokeza kwenu Leo hii kwa mara yangu ya Kwanza kumtafuta mchumba ambae
1.Ana hofu na MUNGU, Mimi ninampenda yesu.
2.MKRISTO km sio mkristo usinipm please ,me ni muaglicana sichagui dhehebu
3. Awe na elimu iliyonizidi, Mimi nina diploma kwa sasa
4.awe mwajiriwa sekta binafsi au serikalini
5.awe mwenye kujituma,mtafutaji mwenye kuijali familia na mwenye kutambua majukumu yake km baba ni nn, Mimi pia ni mtafutaji yaani mbali na elimu yangu lkn najishughulisha na ujasiliamari.
6.Umri awe na miaka 29-34 me nina miaka 26
Nia yangu ni ya dhati, midhaha siipendi please
MUNGU AWABARIKI SANA.
.maelezo mengine mengi nafikili tutaelekezana
DABduh!! hebu tuwasiliane hapa tunaweza kutengeneza kitu tafadhali..0755543803
Wenye degree ndo wamepewa nafas kamandaOoh wenye certificate tukae mbali, sifa hii imeninyima mke