Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,884
- 155,865
Pole mkuu!Ninatokea Mbeya, Haya magari yanakimbizwa Na yanashindana. Polisi njiani wanaangalia tu mtanange huu wakifurahia, Abiria wanamhamasisha dereva achochee Kuni.
Nimemuonya dereva, Basi Zima wamenijia juu, eti nikitaka Maslow motion nipande treni, sina jinsi, Wana JamiiForums naombeni namba za Sumatra
sio kwa barabara hizi za Southwest Highlands. Zina Kona sana, miteremko mikaliMkuu mimi napenda sana kupanda gar zinazofukuzana
Jiongeze, kama ingelikuwa wewe Dereva, piga mahesabu kutoka sumbawanga to Dar kuna Km ngapi gawanya kwa mwendo wa km 40-6 kwa saa utatumia masaa mangapi? Na ukiwa kama Dereva utakuwa kwenye hali gani kiafya. Acha ushabiki wa ajabu namba za Sumatra kachukulie kituo cha polisiNinatokea Mbeya, Haya magari yanakimbizwa Na yanashindana. Polisi njiani wanaangalia tu mtanange huu wakifurahia, Abiria wanamhamasisha dereva achochee Kuni.
Nimemuonya dereva, Basi Zima wamenijia juu, eti nikitaka Maslow motion nipande treni, sina jinsi, Wana JamiiForums naombeni namba za Sumatra
Pia wee mrongo sana,sai baba zimechokaJiongeze, kama ingelikuwa wewe Dereva, piga mahesabu kutoka sumbawanga to Dar kuna Km ngapi gawanya kwa mwendo wa km 40-6 kwa saa utatumia masaa mangapi? Na ukiwa kama Dereva utakuwa kwenye hali gani kiafya. Acha ushabiki wa ajabu namba za Sumatra kachukulie kituo cha polisi
kumbe yule mzee ni wewe hahahah heshima yako mzeeNinatokea Mbeya, Haya magari yanakimbizwa Na yanashindana. Polisi njiani wanaangalia tu mtanange huu wakifurahia, Abiria wanamhamasisha dereva achochee Kuni.
Nimemuonya dereva, Basi Zima wamenijia juu, eti nikitaka Maslow motion nipande treni, sina jinsi, Wana JamiiForums naombeni namba za Sumatra
Urongo Wangu nini., kuna nahali nimesema Saibaba ni mpya?Pia wee mrongo sana,sai baba zimechoka
Angalia hapo mbele kwa driver zitakuwa zimeanzia na 08..kama sijakoseaNinatokea Mbeya, Haya magari yanakimbizwa Na yanashindana. Polisi njiani wanaangalia tu mtanange huu wakifurahia, Abiria wanamhamasisha dereva achochee Kuni.
Nimemuonya dereva, Basi Zima wamenijia juu, eti nikitaka Maslow motion nipande treni, sina jinsi, Wana JamiiForums naombeni namba za Sumatra
Sasa inakimbiaje basi lenyewe limechoka,manjinja sawaUrongo Wangu nini., kuna nahali nimesema Saibaba ni mpya?
Dah! Ina maana Bujibuji Ndio tunkukosa. Inna lillahi Wa Inna illahi rajiuni. RIPNinatokea Mbeya, Haya magari yanakimbizwa Na yanashindana. Polisi njiani wanaangalia tu mtanange huu wakifurahia, Abiria wanamhamasisha dereva achochee Kuni.
Nimemuonya dereva, Basi Zima wamenijia juu, eti nikitaka Maslow motion nipande treni, sina jinsi, Wana JamiiForums naombeni namba za Sumatra
na mwisho wa mwaka ndio huu! kawaida ni kama sheria. Mungu tu aingilie katiDah! Ina maana Bujibuji Ndio tunkukosa. Inna lillahi Wa Inna illahi rajiuni. RIP
Hivi jamaa alifika saa ngapi?!Jana mwenzako alikua anatoa update ya kisbo kutoka Mwanzo,tupe update mpaka ukifika dar mkuu.