mchaga na mpare

Badu

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2012
Posts
407
Reaction score
106
MCHAGA anamdai MPARE
hela..huku MSAMBAA akishuhudia
MPARE:nimesema sikupi bora
nijiue avaeee
(kwa ubahili wake mpare
akajichoma kisu akafa)
MCHAGA:kiruu umejiua mbee
sikubali na kufuata huko huko
unipe pesa yangu
(kwa kupenda hela mchaga nae
akajichoma kisu ili amfuate)
MSAMBAA:tateee nane
nane..yaani hawa wanataka
kuninyima uhondo wanaenda
kudaiana huko ili nisione,walah
sikubali nami najichoma
(msambaa kwa umbea tu,na
uboya wake nae akajichoma)....
 
ha ha ha ha ha ha haaaaaaaaaa nafwa lelo!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…