East African Eagle
JF-Expert Member
- Jul 26, 2013
- 3,759
- 2,205
Nasikia hata Mwenyekiti wa chama fulani cha siasa aliwahi kutumia mbinu za Fernandes, sijui na yeye kisha lipa?
Ngoja nikutajie Ni freeman Mbowe wa CHADEMA alikopa NSSF hela za mafao ya wafanyakazi sijui kesharejesha au naye bado ndio anavuta miguu.Wastaafu wakishindwa kulipwa kwa wakati utakuta CHADEMA wanajitia kuwakilisha hoja binafsi serikali ya CCM haitaki kulipa mafao haraka wakati hela zimeshikiliwa na akina MBOWE!! Hata CHADEMA mafisadi wapo.Wamejificha kwenye kofia ya mheshimiwa mwenyekiti.
Niye wote hamjui chochote. Mimi nafanya kazi Tanzania Investment Bank hapa Dar es Salaam. Yaani mbona unamharibia jina la mtu hivyo? Mta pata laana kwenye maisha yenu. Kweli, uwe na hofu ya Mungu. Huyo Mtume Fernandes anatembea na Upako wa Mungu na ukifika kanisa lake ya Agape utaona Muujiza mbele ya maacho yako. Mungu ampe nguvu Mtume Fernandes
5bils za nini zote hizo?
Alikopa mbowe au chadema?
Niye wote hamjui chochote. Mimi nafanya kazi Tanzania Investment Bank hapa Dar es Salaam. Yaani mbona unamharibia jina la mtu hivyo? Mta pata laana kwenye maisha yenu. Kweli, uwe na hofu ya Mungu. Huyo Mtume Fernandes anatembea na Upako wa Mungu na ukifika kanisa lake ya Agape utaona Muujiza mbele ya maacho yako. Mungu ampe nguvu Mtume Fernandes
ni kweli flora anaonekana amejichubua, unajua kila mtu alikuwa duniani zamani, kama mtu ukijichubua utaishi maisha yako yote ya kujichubua manake ile ngozi ya awali ndio imepotea na kama hauta tumia vipodozi basi utaonekana mdudu kabisa.Waswahili tuna msemo wetu " WAJINGA NDIO WALIWAO" waache wamchangie jamaa yuko smart anajua kuwa BRAIN WASH: siku hizi kuna MTUME FLORA kaibuka anali promote kanisa lake ktk magazeti ya shigongo anakula vichwa kama hana akili nzuri, kajichubua huyo yuko materialistic kinoma yani. waswahili husema " HAMJUI KUSOMA HATA PICHA HAMUELEWI. WAACHE WALIWE MKUU
wewe ndio mjinga wa mwisho, kwa hiyo unaamini kwa akili yako utaleta mistari ya kuconvince watu hapa toka kwenye kuran na watu wakaamini? si kuran hiyohiyo inatumiwa na ISIS, BOKO HARAM NA AL SHABAB ambao wanampigania allah, na mpaka leo waislam wote tz hawajatoa kanusho la kulaani that means wanawaunga mkono? ukitaja mstari wa kwenye kuran hapa akilini mwa watu wanawaza al shababu na boko haram tu manake hao ndio waislam swafi, na ndio wanaoufanya uislam wenu uendelee kuwepo duniani...........hakika tumeifanya nyepesi (Quran) kwa ulimi wako, ili uwabashirie kwayo wacha Mungu, na uwaonye kwayo watu wabishi. Na kaumu ngapi (Generation/vizazi) tumezihiiliki (angamiza) kabla yao ? Je, ! unawaona hata mmoja katika wao au unasikia hata mchakato wao? Quran:19:97-98:focus:
halafu akapendelewa kushindwa kulipa deni?Mtumishi wa Mungu Pst Fernande's kama amependelewa na bank akapewa loan sio dhambi, Mungu anazo njia nyingi za kufanya kazi zake mladi tuu awe mwaminifu. Soma Mwz 12: 35-36.
wewe ndio mjinga wa mwisho, kwa hiyo unaamini kwa akili yako utaleta mistari ya kuconvince watu hapa toka kwenye kuran na watu wakaamini? si kuran hiyohiyo inatumiwa na ISIS, BOKO HARAM NA AL SHABAB ambao wanampigania allah, na mpaka leo waislam wote tz hawajatoa kanusho la kulaani that means wanawaunga mkono? ukitaja mstari wa kwenye kuran hapa akilini mwa watu wanawaza al shababu na boko haram tu manake hao ndio waislam swafi, na ndio wanaoufanya uislam wenu uendelee kuwepo duniani.
Anamiliki bendiana miradi gani mkuu?
jamani tujitokeze kwa wingi kununua ving'amuzi tumwokoe mwenzetu na deni la Bank.
.