Kama walikulinda sasa wamekuwa kero? Watunze hadi Mungu awaite bhana. KKS huwa wana tabia ya kuwatunza hadi kufa, by the way
mimi ninao 2 wana kama 12 years, bado nawatunza kama mbwa wa maana, enzi wakiwa fiti nilikuwa naweza kuacha hata milango wazi, vibaka nilikuwa naskia kwa jirani.