Hyo blog yake inaitwaje mdau
MBUTA Nanga ni a.k.a ya mwanadada FROLA LYIMO aishie UINGEREZA akiwa MTANZANIA.
Nimeshawishika kuandika mada hii kwa kujua fika nae ni mmoja wa member hapa pengineanaweza akasoma au kama kuna marafiki zake pia wamshauri jambo.
Ni jana tu ilipata wasaa wa kuangalia BLOG YAKE jamani hata kama ni BIASHARA DADA yangu that is too much...unakaa utupu kwa jili eti ya kutangaza nguo za ndani tu? au umeamua kutudhalilisha wanawake wenzako kwa kisingizio cha pesa? SIDHANI kama kweli iyo ndo sababu mananawajua mastaa wengi tu wanaotangaza biashara zao wakiwa wamevaa kawaida na bado wakafanikisha mawazo yao.
NIMEAMUA kutumia Jf ILI iwe ahisi hata kwa wengie kumshauri maa hata ningesema nimshaui kupitia BLOG YAKE kwa jinsi NILIVYOMSOMA huenda ana tatizo kubwa....sasa hapa tuna madaktai washaui mabalimbali wanaweza wakamshauri a tatizo ni kudhalilishana mitandaoni kwa kutumia JINA mtanzania....hata kama ni biashara imezidi..yaani ni zaidi ya mtu aliyepata UCHIZI.
Punguza au vaa kawaida na bado utauza na tena utapata wateja way aina zote.
sikio la kufa halisikii dawa
Huezii amini ana 40yrs!!bwahahaa...anakwambia "how to look sexy at om"
Wee ana 40?
Huyu dada anaonekana ana matatizo ya kisaikolojia na pengine marafiki zake ambao wamekuwa wakimshabikia huo ujinga wake wameendelea kukuza tatizo lake.Wee ana 40?
Hiyo shape sasa mhhhhhh???
Hiyo shape sasa mhhhhhh???
Ndio shost ingia kwenye blog yake utakuta kekii yake ya bday aliyotimiza miaka 40...ina kipichu na braa nyekunduu
Afu et ndiyo albakwa na lema!! Me nahs aljbajisha km ndy ivo jaman... Nenden leo kwenye accaunt yake ya instagram mchek alchopost