Mbu wa Muhimbili

nimecheka balaa
 
Kesho saa tatu asubuhi nakuomba ufike ofisini kwa RC tafadhali ukiwa umejipanga vizuri kufafanua hii idea yako,ukifika ni PM
 
Hawa wa hapa Muhimbili ni kama wamekuwa biologically modified kama sio specie tofauti na nyingine.

Mbu anatoboa hadi turubai..!!
Nawajua hao mbu ogopa usikutane nao siku wameamua kula bata yani kunywa damu za visitors sio wagonjwa yani mbu ananyanyua jinsi mwenzie ananyonya then anampa mwingine
 
Kesho saa tatu asubuhi nakuomba ufike ofisini kwa RC tafadhali ukiwa umejipanga vizuri kufafanua hii idea yako,ukifika ni PM
Asante kwa wito na nashukuru kwa kuona umuhimu wa idea hizi.

Bahati mbaya sana niko mbali na maeneo hayo siwezi kufika kwa muda huo. Hata hivyo, idea hizi sijaziwekea haki miliki bali haki miliki ipo mikono mwa serikali ya nchi yangu Tanzania maana nataka tunufaike watanzania wote. Kwa maelezo hayo, ideas hizi ziko huru kufanyiwa kazi tu na wataalamu wa serikali yetu ya Tanzania pekee. Maana nadhani ideas zote tatu wakikabidhiwa wahusika (wataalamu) kwenye wizara za ujenzi, nishati na mazigira(wazo la 1); wizara za utalii,mazingira, ujenzi na uchukuzi (wazo la 2), na wizara za uvuvi, ujenzi na mazingira (wazo la 3) wanaweza kabisa kufanyia kazi haya wakishirikiana na RC.
 
Nawajua hao mbu ogopa usikutane nao siku wameamua kula bata yani kunywa damu za visitors sio wagonjwa yani mbu ananyanyua jinsi mwenzie ananyonya then anampa mwingine
Halafu mbu wale hatari wana act kufa kama mbung'o( tsetsefly) ukijitingisha...kisha wana nyanyuka wanaendelea na kazi!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…