Wakati Mbowe akiongea na waandishi wa habari kule Mwanza juzi alirudia hayo maneno kama mara tatu hivi,
nanukuu
"majitu yamekaa kule dodoma yanapanga mammbo na yanapitisha kodi za kuumiza wananchi, bunge lanyewe siyo halali alafu yanakaa yanapanga mambo ya hovyo hovyo tu"
Kauli kama hizi ni dharau kubwa sana kwa Selikali ya Mama! Ukisema bunge siyo halali maana yake hata rais aliyepo siyo halali vilevile.
Kwa kweli uhuru usio na mipaka wala busara ni uhuni mtupu!
Namna bwana Mbowe utakamatwa sana.