Suala la wanafunzi kwenda kwenye mwenge haliaanza leo, toka miaka ya themanini/tisini lilikuwepo na wanafunzi walifaulu, na waliofeli walifeli. Kwenda kwenye mwenge siku moja hakuwezi kukufanya ufeli au uteketee kielimu. Kama ni kilaza ni kilaza tu au kama shule husika haitoi elimu bora basi mwenge hauwezi kuwa kisingizio.