Kwa hizo mbinu za kilongi 'old tricks' hawampati mtu,kumbuka leo ni karne ambayo hata kipofu anaona na kiziwa anasikia,enzi za ugoro zimeisha watu wanakula unga,enzi za fulani zimeisha sahivi ni watu wanasemaje...enzi hizo kuna shule moja wilayani lakini leo ni kila kata....kwani ni mangapi yamesemwa kwa CDM? Kwani mangapi wamefanyiwa CDM?sasa la udini tu?walisema uchaga,wakawaita wahuni,wakasema cha msimu,wakasema ukanda,wakasema udini,wakasema mke wa mtu n.k ....watasema na watafika mahala wataacha tu,usihofu sie wengine tulikunywa maji ya bendera ya Tanganyika,unaijua?
Tatizo ccm hawataki kuelewa,watanganyika wamechoshwa na chama hiki,washangae pamoja na skendo zote hizo CDM ina watu mpaka hatujuani hata kwa idadi