Mbagala mmenena wengine tuifunze

Msharika

JF-Expert Member
Joined
May 15, 2009
Posts
947
Reaction score
71
Watu wa mbagala wamegundua kuwa CCM haina sera na ahadi zake azitekelezeki na jana wameandamana hadi magogoni ofisi ya waziri mkuu. Wengine tuige na kupiga kura zetu kwa Silaa.
 
more details please!! Hii ni habari nzito na wakati mihimu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…