Mayai ya Kware

Elisha

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2011
Posts
638
Reaction score
1,040
Habari wakuu!

Poleni sana kwa majukumu! Ninaomba kuuliza ninawezaje kupata mayai ya Kware?

Wapi yanauzwa?

Nitashukuru
 
Focus mdogo wetu,
Elimu ya Leo haina thamani,
Ni tangawizi kwenye chai
Ukisoma kwa kukariri ni kweli elimu yako haiwezi kuwa na thamani kamwe! Lakini ukisoma ukaelewa unachosoma, nakuhakikishia elimu yako haitakutupa!

Tatizo lako ulijikaririsha mavitu bila kuyaelewa! Kwa hilo nakupa pole.

Kama ungeelewa ulichosoma usingehangaika! Usingehangaika na tatizo la ukosefu wa ajira maana elimu yako ingekupa ubunifu wa kubuni ajira kwa ajili yako na mamilioni ya watu wengine! Hata hivyo hujachelewa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…