Maumivu ya kihisia

Ngoja waje wakupe muongozo..
Mapenzi ya sasa ni tofauti na enzi zetu..
πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Siku hizi hakuna mahaba mahaba,
Mapenzi ya mkataba mpaka kufa yamekwishaa,
Ni neema ukiwa unahema mapenzi yanachosha yanafuja raha,
Nafsi yangu inasema bora nimpende tu alonizaa.
πŸ™‚
 
Haupo Sawa kijana hata huu mwandiko unaonesha hivyo. Pole sana.
Ushauri
Muhimu ni kujivuta. Kaa mbali na huyo mtu badala ya kutafuta yanakitokea maumivu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…