Maumivu chini ya kitovu

Maumivu chini ya kitovu

Eligi

Senior Member
Joined
Mar 7, 2013
Posts
167
Reaction score
15
Wana jamvi msaada wenu plz, mke wangu huhisi maumivu chini ya kitovu........ afanyeje?
 
Chini ya kitovu yaan kwenye nanihii au pale kilipo kitovu kwa chini yake!!!!
 
Maumivu hayo huwa yanamjia wakati gani na kwa siku hutokea mara ngapi...!!!!!??
na hali hiyo imeanza baada ya kuzaa au kabla.......!!!!??
 
Maumivu hayo huwa yanamjia wakati gani na kwa siku hutokea mara ngapi...!!!!!??
na hali hiyo imeanza baada ya kuzaa au kabla.......!!!!??

Yanamtokea mara kwa mara na hutokea hasa siku za hatari-yai linapokua released from the Overy ndo yanapozidi na wakati maumivu hayo huchoma mithili ya vichomi na hali hii ilianza baada ya kuzaa
 
Nenda duka la dawa za kiarabu, nunua Habat mulk: MATUMIZI, chukua mbegu moja atafune pamoja na karanga mbichi.

ANGALIZO: hatakiwi kuitumia iwapo ni mjamzito.
 
Yanamtokea mara kwa mara na hutokea hasa siku za hatari-yai linapokua released from the Overy ndo yanapozidi na wakati maumivu hayo huchoma mithili ya vichomi na hali hii ilianza baada ya kuzaa

Nenda duka la dawa za kiarabu, nunua Habat mulk: MATUMIZI, chukua mbegu moja atafune pamoja na karanga mbichi.

ANGALIZO: hatakiwi kuitumia iwapo ni mjamzito.
Kabla ya kutafuna hiyo Habat Mulk inatakikana apasue katikati ya hiyo Habati mulk aondowe mzizi wake uliokuwa upo katikati kisha ndio anaweza kuila au kuchemshia pamoja na maziwa ya kuchemsha lakini ina harisha ile mbaya awe karibu na choo.@Elig
 
Wana jamvi msaada wenu plz, mke wangu huhisi maumivu chini ya kitovu........ afanyeje?

Muwahishe hospital/maabara hiyo ni maambukizo kwenye njia ya mkojo (kibofu) kitaalamu ni UTI. Kafanye kipimo cha mkojo (Urine analysis). Ukichelewa utaukwaa na wewe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom