watu wabida bwana mnaulizia sherehe zisizo na maana ktk dini yenu.hakika yule mwenye kuzidisha jambo juu ya dini ya mwenyezimungu moto utakuwa makazi yake.
acha kukurupuka wewee....mbona vimeongezwa vingi tu....mtume hakuacha masahafu wala juzuu kama vitabu ...mtume hakuacha kur an yenye dhuma fatha kisra nk ...we vipi...bidaha kunzungumzia mtume wako kama wew huna muda watakuja wenye muda wamkashifu
acha kukurupuka wewee....mbona vimeongezwa vingi tu....mtume hakuacha masahafu wala juzuu kama vitabu ...mtume hakuacha kur an yenye dhuma fatha kisra nk ...we vipi...bidaha kunzungumzia mtume wako kama wew huna muda watakuja wenye muda wamkashifu