MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO-Business Analyst II & Systems Administrator II-TRA
Kwa wasailiwa waliochaguliwa (SELECTED) kuendelea na usaili wa mahojiano (Oral Interview) wanapaswa kuja na vitambulisho pamoja na vyeti vyao halisi (Original Certificates) Usaili huo utafanyika tarehe 25-09-2017 katika ofisi za Sekretarieti ya Ajira-Maktaba Kuu ya Taifa , kunzia saa moja kamili asubuhi.
Unaona umewaaaahiiiii mwenyewe kutuletea,
Yaani siku moja kabla ndio unaleta wakati watu wanayo toka last week??
Ulichunguza kwanza kama kuna uzi wa aina hii before post here??
Unaona umewaaaahiiiii mwenyewe kutuletea,
Yaani siku moja kabla ndio unaleta wakati watu wanayo toka last week??
Ulichunguza kwanza kama kuna uzi wa aina hii before post here??
Sio mbaya akiwakumbusha wengine sio kama wewe kama kuna mtu alisahau namba yake ya mtihani katika huo huo usaili wa tra kashindwa kujiona kama anatakiwa kuendelea usaili wa oral kwa nn wasikumbushwe?
Sio mbaya akiwakumbusha wengine sio kama wewe kama kuna mtu alisahau namba yake ya mtihani katika huo huo usaili wa tra kashindwa kujiona kama anatakiwa kuendelea usaili wa oral kwa nn wasikumbushwe?
Sio mbaya akiwakumbusha wengine sio kama wewe kama kuna mtu alisahau namba yake ya mtihani katika huo huo usaili wa tra kashindwa kujiona kama anatakiwa kuendelea usaili wa oral kwa nn wasikumbushwe?
Hapana mtoa mada yuko sahihi kabisa...hii ni interview ya pili ..post hiyo ilikuwa na practical..soma tangazo utaona...! Wana Jf wengi ni wavivu wa kusoma wanacho jua ni kucomment tuu