Matatizo ya vidonda kwenye mapafu na tiba

MLABATA

Member
Mar 30, 2015
49
23
Naomba msaada wa visababishi, tiba na namna ya kuzuia. Nimeugua miaka minne sasa natumia dawa siponi. Kila nikienda hospitali napigwa exray na napewa dawa siponi, sa zingine natoa jasho jingi ila mwili unahisi baridi.
 
Umepima makohozi ya TB? Hiyo huwa ni dalili ya huo ugonjwa. Ni vizuri ukapima makohozi kuangalia wadudu wa TB
 
Back
Top Bottom