L lupy Member Joined Nov 5, 2016 Posts 50 Reaction score 33 Apr 6, 2017 #1 Hii channel ni nzuri sana ila shida ni moja hawaandikiki jina la muziki wala alieimba. Wakati wimbo unachezwa
Hii channel ni nzuri sana ila shida ni moja hawaandikiki jina la muziki wala alieimba. Wakati wimbo unachezwa
K Kongolo JF-Expert Member Joined Nov 5, 2013 Posts 441 Reaction score 434 Apr 6, 2017 #2 lupy said: Hii channel ni nzuri sana ila shida ni moja hawatambulishi mziki wakati unachezwa wao ni kupiga tu NAWASHAURI WAWE WANATAMBULISHA MUZIKI WAKATI UNACHEZWA Click to expand... We mgeni nini mjini kaka du
lupy said: Hii channel ni nzuri sana ila shida ni moja hawatambulishi mziki wakati unachezwa wao ni kupiga tu NAWASHAURI WAWE WANATAMBULISHA MUZIKI WAKATI UNACHEZWA Click to expand... We mgeni nini mjini kaka du
L lupy Member Joined Nov 5, 2016 Posts 50 Reaction score 33 Apr 6, 2017 Thread starter #3 Kongolo said: We mgeni nini mjini kaka du Click to expand... Namaanisha hawaandiki nani kaimba muziki wala jina la muziki
Kongolo said: We mgeni nini mjini kaka du Click to expand... Namaanisha hawaandiki nani kaimba muziki wala jina la muziki
Zero Hours JF-Expert Member Joined Apr 1, 2011 Posts 12,942 Reaction score 18,691 Apr 6, 2017 #4 Nyibo za bongo tu zinaboa. Waige hata sound city ya nigeria. Au MTV base.
Mwanzo ni Mwisho JF-Expert Member Joined Mar 9, 2016 Posts 4,400 Reaction score 10,860 Apr 6, 2017 #5 heradius12 said: Nyibo za bongo tu zinaboa. Waige hata sound city ya nigeria. Au MTV base. Click to expand... penda vya nyumbani kwanza, wewe aujazaliwa nigeria au US
heradius12 said: Nyibo za bongo tu zinaboa. Waige hata sound city ya nigeria. Au MTV base. Click to expand... penda vya nyumbani kwanza, wewe aujazaliwa nigeria au US