Walimwibia mdada moja majuzi sh laki 4. Akalia kilio cha mbwa na hakupata hata aliemfutia machozi.... Mtu hata hujashiriki mashindano yoyote unaambiwa umeshinda na unakubali km zuzu
Wanakupigia simu kwa namba 0743340917 na nyingi nyinginezo wanakwambi umeshinda kitita cha million MOJA, wakaendelea, ili niipate hiyo pesa (1mil) basi nitume sh laki MOJA kwa namba ,0743340917
Wanakupigia simu kwa namba 0743340917 na nyingi nyinginezo wanakwambi umeshinda kitita cha million MOJA, wakaendelea, ili niipate hiyo pesa (1mil) basi nitume sh laki MOJA kwa namba ,0743340917
+15092142532:Your Mobile NO Has Won 1,000,000 Dollars in T.MOBILE PROMO USA.to claim send ur Name,Phone No,Age,Addres,Job,Sex to ROBERT Email: tmbus@outlook.com
alinitumia hiyo sms kwa namba hii +255 628 870 526. Nilitumiwa sms hiyo tarehe 6 December 2016, saa 11h23
Wanakupigia simu kwa namba 0743340917 na nyingi nyinginezo wanakwambi umeshinda kitita cha million MOJA, wakaendelea, ili niipate hiyo pesa (1mil) basi nitume sh laki MOJA kwa namba ,0743340917
Wajinga hawa kuna wengine wanajiita Tigo Bima. Wanakupigia kukwambia kwamba namba yako imechaguliwa kujiunga kwny huduma ya tigo bima kwa punguzo maalumu hivyo tuma shilingi 9999 au 2200 kwa ajili ya bima.
Nikawaambia nitaenda kwenye ofisi zao kukamilisha huduma hii wakawa wapole na kukata simu....wizi mtupu ni mdada anaongea vizuri anakutaja jina lako sawa sawa kabisa.