Matamshi ya Makamba yanakera

His words reflect his true self, so there is nothing new from his words nor will there be anything different from someone of his nature...never expects any less of such pathetic utterance....speech is governed by the inner self and mind, so if those are wanting, will an utterance be different? If that ever happens, it will be a miracle.....or at least he will break Guinness record that a dull mind has produced a wise speech...ignore him, since an old dog will never learn new tricks, he can never learn or change....kwanza change itamwondolea maslahi yake maana ndicho hilo anafikiria tu siku zote in what he says or does
 

Dah....well, nsije nkapigwa ban!...
 
Walipa kodi, mwacheni huyu Mzee wa watu...hata mwanae januari makamba alimuomba asiende kwenye jimbokumsaidia kupiga kampeni kwa kuwa alikuwa anajua atamharibia....Hivi wakumbuka alisema yeye hakuzaa wala kulea mbumbu..mtoto wake shurti awe waziri???

Kumbe waziri to be mwenye ni mtaalam wa feki za form iv wa enzi hizo..akiwa waziri si itakuwa balaa??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…