Maswali ya usaili wa Tutorial Assistant, Gender and Development

Hata wanaouliza maswali kwenye interview mda mwingine unakuta nao hawako competent kwa hyo jamaa hajakosea kuuliza unaweza kushare tricky questions kama umewah kuhudhuria sidhani kama jamaa mweupe kiasi hicho mnachodhani nyinyi wajua kila kitu

Imagine mtu amekaa mtaani miaka 7 akiwa hafanyi kile alichosomea sidhan kama mtu huyu anaweza kutumia akili ile ya chuo bila kujiandaa tusidanganyane na kujikweza humu kwenye platform kuna mambo mengi kwenye kuomba kazi
 
Ni jealous tu mkuu, mtu akipata hataki na mwenzie apate au akipitia msoto na wengine wapite humo humo lakini kuuliza miongozo sio kosa hata uwe professor
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…