Masoud Kipanya:Tumerudi relini

Yeah!ni baada ya uteuzi,mwanzoni hata biff ingefaa kufanyia kazi
 
Mtihani wa kwanza Mh MAGUFULI ni kumpa tern ya pili
 
Sioni dalili kama train hii inauzoefu wa kupita kwenye darajaa,ngoja tuone kwani kutokana na shuruba iliyo ipata train na haiku dondoka......
Jee train hii hii itafanikiwa kuongeza mwendo na kupita kwenye daraja...????
 
Huyu masoud ana makusudi yaani kila siku lazima mtu atafute gazeti aone kama amechorwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…