Sheets To_Go ni mashuka kutoka Kampala-Uganda,,ni pure cotton(pamba 100%)
8*8 @80000(shuka 2 na foronya 4)
6*6 @70000(shuka 2 na foronya 4)
Jumla kuanzia pea 10
8*8 @65000
6*6 @55000
Kwa waliopo Dar derivery ipo, gharama ya usafiri juu ya mteja,,na waliopo mikoani mtatumiwa
Tunapatikana Sinza Mori
Mkuu hiyo bei hupati mtu, mm niko mkoani tena central zone nilinunua dar nikatumia hadi nilipo kwa 55000 yaani hapo gharama za kusafirisha ni za muuzaji sasa kwa hiyo bei yako subiri wa dar tu kama watakuunga