HABARI,
Wewe unatoka mapovu nini kinachoo kuuma sana ujinga upi tatizo lugha unayotumia utadhani wewe ndio umemuajiri atengeneze hizo mashine,Kama unauchungu sana umesha mpigia simu nyie ndio mmnaotaka udalali ndio maana mnakimbilia bei hiyo ni tabia ya madalali wewe kama unataka piga simu ndio maana ya kuweka bei ya simu pale.
LUMUMBA