ni kweli inatoa hizo huduma za m-pesa, tigopesa, luku etc, ila ninachojua ni kwamba siyo biashara ya kuleta faida, ni ya kuvutia wateja kama una biashara nyingine, kuna jamaa yangu aliwahi nunua kwa laki tano, but 2yrs ago sasa hivi sijui bei zake
mkuu si kawaone pale Millennium tower...unless wawe wamehama