Ikiwa Mpya ni kiasi gani??Pikipiki naiuza. Iko vizuri cc250'
Bei milioni 4.5 Karbu sana.![]()
Wewe unanunua mashine au maandishiIkiwa Mpya ni kiasi gani??
Pili ifute hayo maandishi maandishi, yatakuharibia soko,
Manake sio lazima atakaeinunua awe mchungaji
Nanunua mashine isiyo na Maandishi yasiyonihusuWewe unanunua mashine au maandishi
Uliposema Yesu ni Mungu kwenye pikipiki imenitumbukia nyongo.Pikipiki naiuza. Iko vizuri cc250'
Bei milioni 4.5 Karbu sana.![]()
Uliposema Yesu ni Mungu kwenye pikipiki imenitumbukia nyongo.
Yesu ni Mungu toka mwaka gani?
Imeandikwa kwenye pikipiki inayouzwa...Inahusiana vipi na ubora na bei ya pikipiki?
Heshimu imani za watu kama kwako sio Mungu kwake na kwa wengine Yesu ni Mungu wetuUliposema Yesu ni Mungu kwenye pikipiki imenitumbukia nyongo.
Yesu ni Mungu toka mwaka gani?
Itakua imeanza Mwaka huu mkuuUliposema Yesu ni Mungu kwenye pikipiki imenitumbukia nyongo.
Yesu ni Mungu toka mwaka gani?
Na kwa Wateja anaowauzia je imani zao zinasemaje??Heshimu imani za watu kama kwako sio Mungu kwake na kwa wengine Yesu ni Mungu wetu
Lete ushahidi Yesu ni Mungu....!Heshimu imani za watu kama kwako sio Mungu kwake na kwa wengine Yesu ni Mungu wetu
Yesu sio mungu na wala hategemei kuwa mungu na halitakuja litokee suala kama hilo.Lete ushahidi Yesu ni Mungu....!
Ikiwa Mpya ni kiasi gani??
Pili ifute hayo maandishi maandishi, yatakuharibia soko,
Manake sio lazima atakaeinunua awe mchungaji
Bora nawe umwambie MkuuUnapofanya biashara wakati huna elimu ya biashara ni tatizo kubwa sana.
Hata hayo maandishi yako pia yanaweza kudhoofisha upatikanaji wa wateja.
Mambo mengine ni ubishi usio na elimu ndani yake.Bora nawe umwambie Mkuu