Mashine ya kufyatua tofali

ubongokid

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2017
Posts
2,357
Reaction score
4,625
Habari wadau;
Mwenye kufahamu kuhusu bei na upatikananji wa mshine za kufyatua tofali kwa maeneo ya Arusha anijulishe aina pamoja na bei zake.

Pia mwenye uzoefu wa biashara ya kuuza tofali anijulishe kuhusu gharama na faida ya biashara hii

Asante
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…