MASHINE YA KUCHUNGUZA MAGARI

MASHINE YA KUCHUNGUZA MAGARI

BABILONI

Member
Joined
Mar 1, 2017
Posts
45
Reaction score
45
Nauza machine ya kupima ubovu wa magari,kinapima magari aina zote kinapatikana kibamba -Dar es salaam
BEI TSH:800,000
CONTACT :0784325299
0792325299
KARIBU
IMG-20250609-WA0000.jpeg
 
Ufafanuzi tafadhali. Hicho kifaa kinapima ubovu wa nini kwenye hayo magari? Bodi, injini, mfumo wa umeme, au kinatoa ubovu wa gari zima! Yaani hata kama balbu ya taa imeungua, kinaonesha!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom