F focusgroup87 New Member Joined Dec 7, 2017 Posts 1 Reaction score 2 Dec 7, 2017 #1 Mashamba! Mashamba! Mashamba yapo Bagamoyo, Msata na Chalinze. Bei ni kuanzia tsh 450,000 kwa ekari. Tunauza kuanzia ekari 1. Nb: ukihitaji hati ya shamba lako utashughulikiwa pia. Wasiliana nasi kupitia namba 0693410942
Mashamba! Mashamba! Mashamba yapo Bagamoyo, Msata na Chalinze. Bei ni kuanzia tsh 450,000 kwa ekari. Tunauza kuanzia ekari 1. Nb: ukihitaji hati ya shamba lako utashughulikiwa pia. Wasiliana nasi kupitia namba 0693410942
misasa JF-Expert Member Joined Feb 5, 2014 Posts 17,501 Reaction score 13,902 Dec 7, 2017 #2 Chalinze kuna umbali gani kutoka bara bara kuu?
youngkato JF-Expert Member Joined Sep 3, 2014 Posts 3,697 Reaction score 3,740 Dec 7, 2017 #3 misasa said: Chalinze kuna umbali gani kutoka bara bara kuu? Click to expand... 30 minutes
K Ketuti Member Joined Jul 29, 2015 Posts 30 Reaction score 78 Dec 7, 2017 #4 Huko watu wamepigwa saana mie siji