mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 94,000
- 132,376
mashamba yanapatikana rufiji-ikwiriri.kwa wenye ndoto ya kumiliki mashamba ekari kubwa hata ekari 50 na kuendelea wani pm.mashamba hayo yanafaa kwa kilimo udongo wake una rutuba, mnaweza ita virgine soil.nimeona nisiwe mchoyo kuwambia wana jf kwa wanayotaka..muwahi maana wasije wenye hela au vugogo wakaja kutuzidi kete...
