...Rage sijui ana nini ndani ya Club; sawa ataka utaratibu wa kumsimamisha haukufuata Katiba ya Club...lakini kwa jinsi hali ilivyo na mwenendo mzima wa Timu jinsi ulivyo kwasasa, inabidi ifike hatua ya kusema sasa RAGE basi; haiwezekani aendelee kugonganisha vichwa watu alafu akafumbiwa macho. Inabidi yeye binafsi atambue kuwa hapendwi tena kuendelea kuwa mwenyekiti wa Club; na kweli Rage anaitakia mema SIMBA hanabudi kuachia ngazi.