Sifurahi uwepo wa janga hilo la UKIMWI, binafsi.
Ila kwa mtazamo wangu, hilo janga ni hekima za mungu, kutuwekea mipaka kwa matendo tunayofanya, tutafakari, tujichunge, tujikinge na tujiepushe. Na kama tukiji rekebisha na kujiwekea mipaka ya matendo yetu litaisha na kutokomea hilo janga.
Bila hivo tungekua tunaishi kama wanyama.