Udo9
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 253
- 76
Napenda kuwakumbusha Watanzania kuwa wasije wakafanya makosa kama waliyoyafanya Wamarekani wakati wakimchagua Obama .
Dunia nzima ilikuwa inafuraha kuwa Marekani kwa mara ya kwanza itaongozwa na mtu mweusi .Obama alitoa ahadi kede kede lakini mpaka sasa hivi Wamerekani hawana hamu nae kwa maisha yalivyoongeeka kuwa magumu .
Kimsingi Obama aliwekwa kuwa Raisi ili tu afiche na awasahulishe watu maovu yaliyofanywa na Serikali ya Marekani kwa nchi zingine sabau watu walikuwa wanahope kuwa ataleta changes tofauti na serikali zilizopita.
Vivyo hivyo kwa CCM na Magufuli .Serikali ya CCM imefanya Uozo wa kila aina kwa Wananchi wa Tanzania ,hivyo basi ,wameamua kumsimamisha Magufuli ili awasaulishe na kuwahadaa watu kuwa mabadiliko yatakuja kama atachaguliwa kuwa Raisi. Lakini,sivyo kama atachaguliwa wimbo utaendelea kuwa ule ule kama unaowatokea Wamareakani .
WATANZANIA TUAMKE TUSIHADAIKE !!!
Dunia nzima ilikuwa inafuraha kuwa Marekani kwa mara ya kwanza itaongozwa na mtu mweusi .Obama alitoa ahadi kede kede lakini mpaka sasa hivi Wamerekani hawana hamu nae kwa maisha yalivyoongeeka kuwa magumu .
Kimsingi Obama aliwekwa kuwa Raisi ili tu afiche na awasahulishe watu maovu yaliyofanywa na Serikali ya Marekani kwa nchi zingine sabau watu walikuwa wanahope kuwa ataleta changes tofauti na serikali zilizopita.
Vivyo hivyo kwa CCM na Magufuli .Serikali ya CCM imefanya Uozo wa kila aina kwa Wananchi wa Tanzania ,hivyo basi ,wameamua kumsimamisha Magufuli ili awasaulishe na kuwahadaa watu kuwa mabadiliko yatakuja kama atachaguliwa kuwa Raisi. Lakini,sivyo kama atachaguliwa wimbo utaendelea kuwa ule ule kama unaowatokea Wamareakani .
WATANZANIA TUAMKE TUSIHADAIKE !!!