Mapokezi ya Magufuli

Udo9

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2015
Posts
253
Reaction score
76
Napenda kuwakumbusha Watanzania kuwa wasije wakafanya makosa kama waliyoyafanya Wamarekani wakati wakimchagua Obama .

Dunia nzima ilikuwa inafuraha kuwa Marekani kwa mara ya kwanza itaongozwa na mtu mweusi .Obama alitoa ahadi kede kede lakini mpaka sasa hivi Wamerekani hawana hamu nae kwa maisha yalivyoongeeka kuwa magumu .

Kimsingi Obama aliwekwa kuwa Raisi ili tu afiche na awasahulishe watu maovu yaliyofanywa na Serikali ya Marekani kwa nchi zingine sabau watu walikuwa wanahope kuwa ataleta changes tofauti na serikali zilizopita.

Vivyo hivyo kwa CCM na Magufuli .Serikali ya CCM imefanya Uozo wa kila aina kwa Wananchi wa Tanzania ,hivyo basi ,wameamua kumsimamisha Magufuli ili awasaulishe na kuwahadaa watu kuwa mabadiliko yatakuja kama atachaguliwa kuwa Raisi. Lakini,sivyo kama atachaguliwa wimbo utaendelea kuwa ule ule kama unaowatokea Wamareakani .

WATANZANIA TUAMKE TUSIHADAIKE !!!
 
Marais waliokuwa wakitawala Marekani walikuwa weupe. Sasa wamarekani wakaamua kumchagua mzee wa mabadiliko Obama mweusi, sawa!? Matokeo yake wanajutia uamuzi wao, sawa sawa? Wabongo nao wasifanye kosa kumchagua mzee wa mabadiliko Lowassa, sawa sawa? Hawatapata kile wanachokitarajia. OK, tumekuelewa, tutazingatia.
 
Reactions: snn
Lowassa kalelewa na nani? Tena nani ni Fisadi katika list ya Wapinzani?
 
lowasssa ndiyo rais anaye subiri kuapishwa hawa machangu waliume siyo watu wanavunja ndoa za watu hawawezi kuwa viongozi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…