Iphone 15 pro max ukiikunja kwa mikono tuu inapasuka kwa nyuma.. Hii ni sababu imetengenezwa kwa Titanium materials ambayo Apple walijitapa ni magumu kushinda Aluminium.. Hii test aliifanya jamaa maarufu anayeitwa "Jerry Rigs Everything" kule Youtube.
Yani alitumia nguvu kidogo tu ikavunjika kwachaa.
Ila Iphone 15 na 15 plus zenye Aluminium zimesurvive hii test...