hizo ni dalili za matatizo ya moyo, mkewangu anatatizo linaitwa miltralvalve prolapse na anadalili hizo lakini sikuhizi hajambo kiasi flani.
nakushaur ukaonane na dk mlawa ni senior specialist wa magonjwa ya moyo anapatikana tumaini, muhimbili, aljumaa, nyengine nimesahau lakin ye alikua akionana nae pale aljumaa siku ya jumanne na ijumaa anakuwepo, clinic inaanza saa kumi na bei ni 35000 (imepanda sikuhizi zaman ilikua 20000).
atakushauri hadi sehem za kwenda kupima, baadhi ya hospital hawana wataalam wa kuchek vizur kipimo icho hasa ECHO. hutojuta yupo vizur ukifika muhimbili ukimuulizia pia utampata fasta wanamjua wengi