Coment ako inanionyesha uhalisia wako jinsi ulivyo sjui ni kutofikiri na kutafakari najua akili unayo ila nimeomba msaada uwezi kumjib mt ivyo. Asante sana leo kwangu kesho kwako
Jamani naomba msaada nilikuwa na muda mrefu xja sex kama 2 years na baada apo ninapoanza sex hata 30sec haziishi namaliza shoo na ngoma haiamuki tena na tatizo hili limenitokea kama mara saba ivi naombeni msaada wowote wa mawazo ushauri na tiba pia niepukane na jambo hili linanipa hofu sana
jitahidi kukocontrol ejaculation sio unaingia tuu na unaanza kusukuma....mimi masturbration ilinisaidia maana nilikua nakojoa kama dk 2 ila nikawanajaribu kwa masturbration hata dk 4o nikiingia ulingoni ni kama dk 25 ndio nakojoa inasaidia ila unategemea unapiga vipi