Umefanya vizuri kuachana na CHAPUTA. Sasa ni muda wa wewe kutafuta tiba na kubadili lifestyle yako. Anza kutumia vyakula vya kiasili zaidi brother, Bora hata wewe unakwenda hata 30 sec,
Kuna msela alidondosha gori lake kabla hajaingiza hata mkuyenge.
Alipotuambia tulimsikitikia sana, ila tulicheka sana aisee!