SAWA kabisa, nakubaliana na wewe mia kwa mia, LAKINI? matatizo mengi ya ndoa tunaanza sisi wananume je ni wanaume wangapi tunakuwa wa wazi? wewe kesho ilikuwa uchukue mshahara leo umefukuzwa kazi,utamwambia mkeo harakaharaka umefukuzwa kazi? tena kwa kosa la kukutwa unazini ofisini na secretary? na kesho ulimuahidi mkeo kumpa sh 100,000, hazipo kazi haipo, anauliza unasema ngoja nitakupa,yeye atadhani umehonga, ugomvi unaanza,kwa hasira anaenda kwa buzi au kutafuta kidumu . Tuwe wawazi zaidi,matatizo mengi yataisha.