Mungu ameumba upendo na chuki. Shida na raha. Kupac na kufeli faraja na huzuni lakini kwangu naona tofauti sana kweni huzuni majonzi vimenitawala sana mapenzi kwangu yamekua fimbo uwazi wangu uwaminifu na ukweli ktk mapenzi ndio tatizo nabaki naumia sielewi ni yupi atakae kua mkweli kwangu nahitaji mpenzi nitakae funganae pingu za maisha siku zote sipendi kudanganya nahitaji faraja ya mapenzi ya kweli mapenzi yanaumiza sana..........
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums