Mtoto Tajiri
JF-Expert Member
- Sep 29, 2014
- 300
- 173
Ni hivi bila kupoteza muda, kuna demu mmoja tulikuwa tunakaa majirani sasa ikatokea tumezoeana kimtindo baada ya miezi miwili nikiwa nimerudi home Tz maana nilikuwa pande za kati, nikiwa nimekaa kama miezi mitano hapa home Tz then nikarudi tena sasa baada yakufika kule kwasababu nyumba ilikuwa ni ya kupanga nikawa nimehamia mtaa mwingine.
Siku nikiwa nimeshaweka laini yangu ya kule nikaanza kukagua contact nikaona namba yake kisha nikaamua kumpigia kumpa hai, then baada ya hapo nikawa namtongoza lakini nilikuwa napoteza muda tu kwani sikuwa nampenda hata kidogo so nilikuwa namtania tu, lakini baada yakuwa namtumia maneno matamu matamu akajikuta ameshachanganyikiwa kabisa na mimi,vakanikubalia lakini nikataka kumwambia ilikuwa ni utani nikaogopa kumkwaza kwani angesema nachezea hisia zake, kwahiyo nilichofanya..........inaendelea
Nakuja na part2
Siku nikiwa nimeshaweka laini yangu ya kule nikaanza kukagua contact nikaona namba yake kisha nikaamua kumpigia kumpa hai, then baada ya hapo nikawa namtongoza lakini nilikuwa napoteza muda tu kwani sikuwa nampenda hata kidogo so nilikuwa namtania tu, lakini baada yakuwa namtumia maneno matamu matamu akajikuta ameshachanganyikiwa kabisa na mimi,vakanikubalia lakini nikataka kumwambia ilikuwa ni utani nikaogopa kumkwaza kwani angesema nachezea hisia zake, kwahiyo nilichofanya..........inaendelea
Nakuja na part2