Tatizo sigala
Member
- Jan 27, 2013
- 45
- 5
- Thread starter
-
- #41
Kwa hiyo na wewe unaamini na kukubali kutishwa na huyu mtoto mdogo, umesema umeoa na una watoto, achana ina hizo imani potofu za huyo binti na ikimbie zinaa ili ulinde familia yako bwana.
Ukiendekeza itakula kwako kweli.
Panda juu ya gorofa halafu jiachie, kama anakupenda atakufata huku unapokwenda.Nina gal aliemaliza kidato cha4 nilitoka nae mara1 tu akaniomba namba ya cm, ilahal nilimjuza kuwa nina mke na familia, amekuwa akinisumbua sana kutaka mapenz na mim ila mi stak, sasa amefika mahal ananitishia kuniua/kafara coz antaka penz lang, advise me pliz pipoz?
ulipotoka nae ulimpa ahadi gani?
je ulipomuambia kwamba una mke na mtoto ulifikiri huyu mtoto wa shule atakuelewa?
unatishiwa kuuawa na mtoto wa shule? hawezi kukuua ila atakusema kwa mkeo, kwa hiyo usiogope sana.