Mapenz mgando hayafai..

B DOZEN B52

Member
Joined
Apr 22, 2014
Posts
28
Reaction score
1
Kuna kidada kimoja kilipata bahat ya kukutana na mi superstar lakn cha ajabu kinaomba mgegedo wakat nakiona kama hakiko sawa kiakili na kimavaz kitanishusha ubora sijui nifanye vp wakat mie big name mtaan kwet , na sasa kaweka vitisho vya kutushia eti nikigoma nitakiona bahat mbaya nasikia kwao ni wizard cana.
 
Niambie neno la mwisho ulikusudia kuandika CANADA au CANAVARO? Halafu iyo style ishapitwa na wakati
 

We ndo B Twangala? Mtaani kuna tetesi kua unaliwa kama mboga
 
Aliye nikataa karudi kwa mbwembwe na vizawadi vya kishenz baada ya kuniona B DOZEN B52 mambo yangu safii . Sijui nimuweke wapi wana MMU maana hata kwa buti ya gari hawez kaaa.. hebu nisidien
hii mikogo sasa
 
Nina wasiwasi na umri wa mleta mada. .....labda wenzangu mumeelewa
 
Mhh na mashaka na huyu mtoa mada,sidhan kama ndo b12 mwenyewe!acha kumwaribia mwenzio jina bana
 
Ukiwa mbwia unga lazima uwe na hadith kama zako...loading error....
 
Nasikia mawingu ni magasho, na wewe si ndo wa pale mawingu?

Kwahyo wewe ni superstar gasho?
 
Ujana bwana!!!

Ujana kwa sana na ukizingatia nina vipesa vya kulainisha demu yeyote lakn hiki kidada had navyoongea kiko karbu kunitoa roho

Nami pia
Nina mashaka nawe unga unaosema ni wa ngano au wa mihogo jombaaa!!!
 

Unahitaj sensa ,Nenda wizarani utapata kila kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…