McKobas Aok
Member
- Jun 25, 2016
- 15
- 1
Habar ndungu wana JF nataka kujua kama kuna mtu anataka mapapai.Piga 06573332218 kwa maelezo zaidi
Ndo ukulima wa tz kwa hiyo hadi yanakuwa hukujua unauza wapi pole mkuu ,
USHAURI : nenda soko kuu la karibu mji unaoishi ulizia wafanyabiashara wa matunda ila bei zao ni za kulalia wananunua ,ila kama uko dar kodi gari peleka kariakoo uuze reja leja kwa wachuuuzi huyu mia ,50 ,40 mpaka gari iishe