Ndugu watanzania wenzangu kumekua na tabia ya wanatanzania wengi sana kutumia lugha ya kiswahili na kiingereza katika mada ambayo imeanzishwa kwa lugha ya kiswahili....au mtu anahojiwa kwa kiswahili lakini anajibu kwa kiingereza na hali akijua kuwa ni mtanzania na wanaomsikiliza ni watanzania tena wakati mwingine hata hawajui kiswahili...Je unadhani ni nini chanzo cha utata huu?toa mtazamo wako ili tuelimishane katika hili...
Mukwano