Mukwano jebaleko
JF-Expert Member
- Mar 30, 2015
- 402
- 214
Ndugu watanzania wenzangu kumekua na tabia ya wanatanzania wengi sana kutumia lugha ya kiswahili na kiingereza katika mada ambayo imeanzishwa kwa lugha ya kiswahili....au mtu anahojiwa kwa kiswahili lakini anajibu kwa kiingereza na hali akijua kuwa ni mtanzania na wanaomsikiliza ni watanzania tena wakati mwingine hata hawajui kiswahili...Je unadhani ni nini chanzo cha utata huu?toa mtazamo wako ili tuelimishane katika hili...
Mukwano
Profile picture yako inamaneno ya kingereza.. unaonaje ingekuwa kiswahili tu?
Wengi wao ni washamba,wanadhani kupiga kiswa-kinge ndio utaonekana msomi au ndio utaonekana umekaa sana majuu.
Wi-fi tatizo ni kuchanganya lugha, mada au majidiliano ni ya kiswahili we unajibu kwa kiswa-kiinge!profile yangu haijachanganya lugha kaka nimetumia lugha moja....na ishu ni kwenye majadiliano au malumbano ya hoja
Kabixa huo ni ushamba na wandewazimu usio na kichwa cha mbele wale nyuma unakuwa msaliti wa lugha yako ya taifa