Bado tunahtaji mameneja wa Hotel na hii ni haraka sana,kama una uzoefu wa kufanya kazi za kiutawala (Managerial Positons) hatakama sio Hotel,tuma cv yako tutazingatia
Bado tunahtaji mameneja wa Hotel na hii ni haraka sana,kama una uzoefu wa kufanya kazi za kiutawala (Managerial Positons) hatakama sio Hotel,tuma cv yako tutazingatia
Bado tunahtaji mameneja wa Hotel na hii ni haraka sana,kama una uzoefu wa kufanya kazi za kiutawala (Managerial Positons) hatakama sio Hotel,tuma cv yako tutazingatia
Hawa ndo wanatapel ukishawatumia cv badae wanakutafta na kukulza we ni flani bin flan njo sehemu flani halafu wanakuvamia imetokea kwa rafiki.yangu watu wa aina hii ni matapeli wakubwa
Wadau naombeni msaada notice za hotel management !nataka nijisomee mwenyewe maana degree inazingua hamna mchongo bora nijisomee mwenyewe hotel pengine itasaidia!!
Bado tunahtaji mameneja wa Hotel na hii ni haraka sana,kama una uzoefu wa kufanya kazi za kiutawala (Managerial Positons) hatakama sio Hotel,tuma cv yako tutazingatia
Mkuu, bandiko lako linakosa details muhimu kuwasaidia potential candidates kufanya maamuzi ya awali. Kama unataka watu serious weka details vizuri kuhusiana na kazi husika (kazi gani hasa - uhasibu, HR etc? nafasi gani? mahali gani? sifa gani? nk). Weka tangazo la kazi lililokamilika au la weka link ili wahitaji wafuatilie.