Ben alikuwa jembe sana, ingekuwa naweza moja ya maoni yangu kwenye katiba nngeomba rasi akimaliza muda wake na kama raia bado wanampenda basi agombee tena lol!
Wasiomjua wanasema aliacha fedha nyingi hazina hawajui fedha hizo zilitokana na kuuza rasilimali za taifa kwa bei ya kutupa kama vile viwanda alivyojenga baba wa taifa JK Nyerere, migodi hata kujiuzia kwa bei ya kutupa. Shame on him Benny. Mungu akupe maissha marefu uje utueleze kwanini madhambi haya!!