Duh, kuna watu wanaoana kama vile wanaigiza.
Maswali Mme: hakujua kama kuna watoto? Hakufanya due diligence hata kidogo? Watoto wawili unaweza waficha?
Maswali Mke: Kwa nini alificha msiba? Kwa nini alisema baada ya kufika huko.
Hii story ya kutunga, ila ya kwenye magazeti ya 'ungekuwa ww ungefanyaje?'