Brother sijakurupuka kuandika nilicho andika na yawezekana nina fikra pana kuliko wewe.. Umewahi kuangalia vipindi vya wanyama? kama ndio basi utakubaliana na mimi kuwa kuna sindano maalumu mithili ya bunduki ambayo hurushwa kwa mbali na mtambo huo baada ya muda kidogo basi mnyama huyo analala na kukamatwa bila madhara yoyote
Ungekuwa karibu nakunasa kerebu moja.
Nchi za kiafrika za ajabu sana, mnyama akijichanganya kwenye makazi wa watu anauwawa na kufanywa kitoweo kama juzi kiboko mdogo aliyeingia kwenye dimbwai la mtu. Kwa nini wasingempiga ile sinadano ya nusu kaputi na kumchukua na kumrudisha kwenye mazingira yake ya aslili?
Mamba iko nguvu kumayii kumuchanga inakorokota tu
Brother sijakurupuka kuandika nilicho andika na yawezekana nina fikra pana kuliko wewe.. Umewahi kuangalia vipindi vya wanyama? kama ndio basi utakubaliana na mimi kuwa kuna sindano maalumu mithili ya bunduki ambayo hurushwa kwa mbali na mtambo huo baada ya muda kidogo basi mnyama huyo analala na kukamatwa bila madhara yoyote
Nchi za kiafrika za ajabu sana, mnyama akijichanganya kwenye makazi wa watu anauwawa na kufanywa kitoweo kama juzi kiboko mdogo aliyeingia kwenye dimbwai la mtu. Kwa nini wasingempiga ile sinadano ya nusu kaputi na kumchukua na kumrudisha kwenye mazingira yake ya aslili?
Mkuu wakati unamchoma hiyo sindano yee awe anakuangalia tu kiongozi hebu nipe upeo wa fikra kidogo ndugu.
Mkuu wakati unamchoma hiyo sindano yee awe anakuangalia tu kiongozi hebu nipe upeo wa fikra kidogo ndugu.
mh alikufa mwenyewe huyo!
Watamuueje?
Halafu huyo mamba nimkubwa kuliko udhaniavyo Rweza79 ni kwamba tu unashindwa kuimagine. Unajua kama wewe ni mwanaume mrefu na uliejaza vizuri unakua sawa na mguu wa mbele wa huyo mamba?
Zile picha tunazopigaga mwisho wa semina zetu si unazifahamu sasa imagine ndio hizo hapo halafu pawe na kiumbe mmoja ana funika mwanzo mwisho. Hehehe we jamaa huyu ukimwona laivu lazima utumbo ubane!
Hivyo unataka kuniambia hakuna hiyo ganzi ya kudunga wanyama pale ambapo anatakiwa kusafiriswa au kutibiwa au unataka kubisha tuu kwa sababu ndio asili ya utanzania?Brother, usidanganyike na programs za vipindi vya TV ambavyo vinakuwa vimeandaliwa.
Nimewahi ona kwenye animal planet, kama mnyama ni mkali, mnataka kumpiga sindano ya nusu kaputi, kuna kama vibunduki fulani vinakuwa na 'risasi-sindano' ambayo ina dawa. Hivyo analengewa mbali tu kama kati ya umbali wa mita 5-12 hivi.
Bora mmeeleza ukweli kwani kuna watu wanabisha tu vitu vya kawaida. Ukienda ofisi zote za maliasili utakuta hizo sindano na wala sio za garama sana ila ni uzembe wetu tuu wa kuzitumia. Hutumika pale mmnyama mkali anataka kusafirishwa kutoka sehemu moja hadi nyingine au anataka kufanyiwa matibabuSiyo kuchoma sindano Kama binadamu , kuna bunduki ya kurusha hiyo sindano,
ushapiga bia ya ngapi hapo mkuu
Hivyo unataka kuniambia hakuna hiyo ganzi ya kudunga wanyama pale ambapo anatakiwa kusafiriswa au kutibiwa au unataka kubisha tuu kwa sababu ndio asili ya utanzania?