Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,331
- 33,141
mama Kikwete anaweza kuwafundisha kusoma na kuandika watoto ,kitu ambacho amekua akikifanya miaka nenda rudi, na ninaamini mke wa OBAMA haiwezi hiyo shughuli, sikila afanyacho Mrs Obama wake za marais wengine waweze, kuna utofauti wa malezi,ukuaji , elimu na mila na desturi kwa ujumla.
She can please!What is so special with such kind of dancing?
Kigogo sasa kwenye spoti si itabidi avae kispoti....na anavopenda kuvaa mavitenge si yatamuangusha na atajikwaaa
na anavopenda kuvaa mavitenge si yatamuangusha na atajikwaaa