Mama kashacheka huko

Mji upi huo mkuu ambao mshahara ukitoka tu msururu kwenye ATM hasa za NMB huwa haupo?? Bila hata kuambiwa mshahara ukitoka utajua tu maana wanajazana kwenye ATM balaa
kwa hiyo wanakukera?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…